VITASA | Ibrahim Class vs Xiao Tau Su |

Описание к видео VITASA | Ibrahim Class vs Xiao Tau Su |

VITASA NIGHT: Bondia Mtanzania, Ibra Class ‘Mawe’… amemshinda Xiao Tao Su kutoka China kwa pointi na kuchukua mkanda wa TPBRC, Lighter Welterweight kilo 59 katika pambano la raundi kumi lililofanyika leo PTA Sabasaba, Jijini Dar es Slaam.

Hili hapa pambano kamili kuanzia raundi ya kwanza hadi ya kumi….ngumi kutoka China zilipokutana na vitasa vya kibongo, likiwa ndilo pambano kuu la Usiku wa ‘Vitasa Ulingo wa Moto’, #RingItaongea

Комментарии

Информация по комментариям в разработке